FALLY IPUPA NI ROLE MODEL WA MR. CHAMPAGNE?

                             


Msanii wa kizazi kipya nchini Burundi anaetamba kwa wimbo wa QU'EST CEQU'IL YA ( KESKILYA) aliomshirikisha Fizzo, Ndayisaba Junior a.k.a Mr. Champagne, Amedhihirisha wazi siku ya ijumaa pili tareh 24 disemba 2017 baada ya tamasha lililowakusanya wasanii kutoka Burundi Natacha na Vichou pamoja na msanii kutoka Jemhuri ya kidemokrasiya ya Congo Fally Ipupa, Licha ya msanii huyo Mr Champagne kuonekana kwenye picha nyingi akiwa na Fally Ipupa mitandaoni.





"Mimi ni shabiki wako mkubwa hapa Burundi" alitamka Mr Champagne akimuelezea role modele wake, kwa ku thibiti hilo Fally alimuimbia wimbo wake mmoja huku Mr Champagne aki mkatia mauno.

Hii hapa ni post alioweza kuipost siku ya jana kwenye ukurasa wake wa facebook.




  
               

0 comments: