Mwanamitindo wa kimataifa wa kiume kutoka nchini Burundi, Hakim NKENGURUTSE anaeishi nchini Afrika ya kusini (Republic of South Africa) Mkoa wa Gauteng, mji wa Johannesburg.

Zimeonekana Takriban Picha zake 6 ambazo zimezuwa gumzo mitandaoni na kudaiwa kwamba amekeuka maadili ya kitamaduni za Burundi.
Pichani, Hakim ameonekana kuvalia nguo aina ya chupi huku yupo kifua wazi na miguuni kavaa viatu vya shingo ndefu, ambapo wengi wa watu hufananisha viatu hivyo na vya kike.



\

Tumepokea maoni ya watu wengi kuhusiana na mwanamitindo huyu wa kimataifa.
Tukumbuke, ni mwakajana mwishoni ambapo mwanamitindo huyo alikuwepo hapa nchizni ziyarani baada ya kuweza kushiriki kwenye michuano ya SWAHILI FASHION WEEK awamu ya 2017.



0 comments:




Msanii wa Burundi anaeishi nchini Australia, South Australia, Adelaide Jelly Beatz, anatamba kwa wimbo wake Need someone's space, usiku wa kuamkia leo ameweza kubandika picha tatu za msichana mrembo aitwae Salima Issa ambae hudaiwa kuwa huwenda ndie mpenzi wake,

Baada ya kupata taarifa hizo kwenye mitandao, Baadhi ya watu walijaribu kutuuliza kuwa habari hizi ni kweli au laa?
Ambapo mpaka sasa hatujapata majibu yoyote kutoka kwa mkali huyo.
Kuna tetesi zinazosemwa kwamba mkali huyo Jelly Beatz na msichana huyo Shemeji yetu Salima wataonekana kwenye video mpya ya Jelly Beatz ambayo haijatajwa jina.

Picha kadhaa za Salima kwenye ubora wake



 








0 comments:




Msanii wa muziki wa kizazi kipya Gaga Blue anaetamba kwa wimbo wake IVO IVO alioshirikiana na msanii kutoka Tanzania Young D, amewataka wasanii wa muziki wa Indundi Music  kuwekeza pesa za nyingi kwenye muziki wao ili kuongeza thamani ya muziki wa Burundi.

Muimbaji huyo ameiambia ( Rundiwood) kuwa uwekezaji kwenye muziki ndiyo siri ya kufanikiwa kwa wasanii wengi na ilo tayari ameligundua kwa wasanii wengi nchini Tanzania.


Aidha msanii huyo alitoa mfano kwake na kusema kuwa mara nyingi anawekeza sana bila kujali kusaidiwa na meneja wake na akaongeza kwamba akipata milioni 6 anawekeza milioni 4 kwenye muziki huku akichukua milioni mbili kama faida ya kazi yake.





Licha ya kuzidi kutamba na kuonekana msanii wa kuigwa nchini Burundi, Gaga Blue alitoa donge kwa msanii mmoja wa Burundi bila kumtaja jina na kusema kuwa "Kuna msanii mkongwe Burundi ila hana mpango wowote kwenye muziki wakati pesa za show anazidi kuzipata ila ukitizama muziki wake hauna thamani yoyote."

Baadhi ya wafuatiliaji wa karibu wa muziki wa Indundi Music wanadai kauli hiyo ya Gaga Blue imemlenga msanii mwenzie Mugani Desire Big Fizzo jambo ambalo wengi wao kuhisi labda kutatokea utofauti wa ki kazi kati ya wawili hao.




0 comments:


Mwanamuziki, mtetezi wa Hip Hop Hakizimana Hubert, KING HUBERT Anaetamba kwa wimbo wake IWACU NIHEZA alio mshirikisha Jean Pierre Nimbona KIDUM KIBIDOO, baada ya ku kaa kimya kwa muda kiasi, sasa ameahidi kuanza mwaka 2018 kwa ujio mpya kabisa.



Ame ahidi kuachia wimbo mpya alio uvika jina la BELIEVE IT ambapo ameshirikiana na msanii mwenzie wa hapa hapa Burundi ila wanaishi nae huko nchini Australia ambae ni JAY TWIST.


Wimbo huo utakuja ni Audio na Video, ambapo mpaka dakika hii haijajulikana video hio imesimamiwa na muongozaji yupi.




0 comments:





Magic Soldier ametuletea hii hapa kutoka Mood Nation.









0 comments:



Tareh 30 mwezi desemba mwaka 2017, ndio siku ambayo zimetolewa tuzo za SOFT AWARD wilayani NTAHANGWA tarafa la Kamenge, maneo ya Centre Jeune Kamenge.

Hafla hio imewakusanya wasanii kem kem kwenye tasnia tofauti za sanaa.
Walikuepo waimbaji, wachora kwa wino wa ufyonzi, waigizaji Nk...


Wameanza kwa kugawa vyeti vya heshima kwa wasanii waliofanya kazi kwa kujitolea kwa moyo, ambapo Tambwe Remy amepewa cheti kama mchekeshaji bora aliefanya kazi kwa bidii

Aliefuatia ni Promotor aliejitolea kwa ku promote muziki ambapo alie nyakua cheti hiko ni Rick Love 
 

 Wengine waliopata cheti hiko ni Pierre Nkurikiye, Ami Pro, B-Face, Akes Don...
         

 


Treibeka Hill Top 10 imechukua tuzo kama management bora ya mwaka 2017, Akeza Mutima wamechukua tuzo kama Taasisi lililo jitolea kudhamini katika matamasha ya muziki wa Burundi, nafasi ya pili ni Fungus Tea.
Ilipo fika zamu ya kugawa tuzo za heshima, makundi ma nne yalio tajwa ni

* Kundi bora la kiutamaduni
* Filamu bora ilio tangaza nchi
* Kundi bora la Gospel
* Mwana hip hop bora wa mwaka.


0 comments: