VUNJA GOTI GUMZO MITAANI
Baada ya KINGORONGORO kutangaza kuwa hivi punde ataachia wimbo mpya kwa jina la VUNJA GOTI, Rapper huyo kwa muujibu wake andai sio wimbo wa kawaida, huku marappers wengine matumbo joto...
Habari tulizo nazo hapa ni kwamba kwenye wimbo huo ameshirikiana na Producer pia Msanii ambae ni KOLLY THE MAGIC, na wimbo huo utaachiwa AUDIO & VIDEO, ila bado hajatangaza ni lini atauruhusu.
Mashabiki wa muziki wa nyumbani wameanza kutumia jina la wimbo huo kama SLOGAN kwenye mitandao ya kijamii hata mitaani kwao pia ku dhihirisha ni jinsi gani wanavyo usubiri kwa hamu.
Tukumbuke kwamba ni hapo juzi tu ambapo msanii huyo alipoweza kuachia wimbo wake mpya kwa jina la KALI NA NUSU ambao haujachukua hata wiki mbili mara ghafla ametangaza atauachia wimbo mwingine.
0 comments: