DAKIKA 26 NA SEKUNDE 10
MANIRAMBONA IBRAHIM maarufu kama ICUBURUNDI, muigizaji anaetikisa tasnia ya filamu nchini Burundi, anaonekana kushamiri kwenye tasnia hii tangu baada ya filamu alioigiza na muigizaji wa kike kutoka nchini Tanzania, SHAMSA FORD, na kujipatia umaarufu mkubwa nchini nakujitangaza ki kazi nchini Tanzania ambako anaonekana mara nyingi kujielekeza huko kufanya kazi nyingine kem kem.
Tukumbuke ni mwaka jana ambapo waliweza kumleta muigizaji mwingine kutoka nchini Tanzania Hemedy Suleiman nakufanya nae Movie ambayo imepewa jina la BURUNDIAN IN DAR ila mpaka dakika hii haijajulikana ni lini itaachiwa.
Icuburundi kwasasa aliweza kuachia filamu mpya ambayo inatamba nchini GENDER EQUALITY, kama ulikua bado hujabahatika kuitazama hii hapa chini nimeikusogezea.
vizuri
ReplyDeleteAsante kwa maoni yako
Delete