NEWS | YALIOJIRI SOFT AWARD



Tareh 30 mwezi desemba mwaka 2017, ndio siku ambayo zimetolewa tuzo za SOFT AWARD wilayani NTAHANGWA tarafa la Kamenge, maneo ya Centre Jeune Kamenge.

Hafla hio imewakusanya wasanii kem kem kwenye tasnia tofauti za sanaa.
Walikuepo waimbaji, wachora kwa wino wa ufyonzi, waigizaji Nk...


Wameanza kwa kugawa vyeti vya heshima kwa wasanii waliofanya kazi kwa kujitolea kwa moyo, ambapo Tambwe Remy amepewa cheti kama mchekeshaji bora aliefanya kazi kwa bidii

Aliefuatia ni Promotor aliejitolea kwa ku promote muziki ambapo alie nyakua cheti hiko ni Rick Love 
 

 Wengine waliopata cheti hiko ni Pierre Nkurikiye, Ami Pro, B-Face, Akes Don...
         

 


Treibeka Hill Top 10 imechukua tuzo kama management bora ya mwaka 2017, Akeza Mutima wamechukua tuzo kama Taasisi lililo jitolea kudhamini katika matamasha ya muziki wa Burundi, nafasi ya pili ni Fungus Tea.
Ilipo fika zamu ya kugawa tuzo za heshima, makundi ma nne yalio tajwa ni

* Kundi bora la kiutamaduni
* Filamu bora ilio tangaza nchi
* Kundi bora la Gospel
* Mwana hip hop bora wa mwaka.


0 comments: