GOSSIP | HUYU NDIE MPENZI WA JELLY BEATZ




Msanii wa Burundi anaeishi nchini Australia, South Australia, Adelaide Jelly Beatz, anatamba kwa wimbo wake Need someone's space, usiku wa kuamkia leo ameweza kubandika picha tatu za msichana mrembo aitwae Salima Issa ambae hudaiwa kuwa huwenda ndie mpenzi wake,

Baada ya kupata taarifa hizo kwenye mitandao, Baadhi ya watu walijaribu kutuuliza kuwa habari hizi ni kweli au laa?
Ambapo mpaka sasa hatujapata majibu yoyote kutoka kwa mkali huyo.
Kuna tetesi zinazosemwa kwamba mkali huyo Jelly Beatz na msichana huyo Shemeji yetu Salima wataonekana kwenye video mpya ya Jelly Beatz ambayo haijatajwa jina.

Picha kadhaa za Salima kwenye ubora wake



 








0 comments: